Kamishna wa Haki za Binadamu ainasihi Israel kukomesha, halan, vikwazo dhidi ya Ghaza
Kamishna Mkuu wa UM juu ya Haki za Binadamu, Navi Pillay Ijumanne ametangaza taarifa, yenye mwito maalumu, wenye kuinasihi Israel kukomesha, haraka iwezekanavyo, vikwazo vyote dhidi ya eneo la Tarafa ya Ghaza.