Ukumbi mpya wa mikutano umefunguliwa rasmi Geneva kuhishimu haki za binadamu na tamaduni anuwai
KM Ban Ki-moon leo yupo Geneva, Uswiss akihudhuria ufunguzi wa ukumbi wa kisasa wa kufanyia mikutano, uliojengwa upya na kupambwa kwa michoro ya msanii maarufu wa Uspeni anayeitwa Miquel Barcelos.