Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Ukumbi mpya wa mikutano umefunguliwa rasmi Geneva kuhishimu haki za binadamu na tamaduni anuwai

Ukumbi mpya wa mikutano umefunguliwa rasmi Geneva kuhishimu haki za binadamu na tamaduni anuwai

KM Ban Ki-moon leo yupo Geneva, Uswiss akihudhuria ufunguzi wa ukumbi wa kisasa wa kufanyia mikutano, uliojengwa upya na kupambwa kwa michoro ya msanii maarufu wa Uspeni anayeitwa Miquel Barcelos.