Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

UM wahadharisha, watoto mazeruzeru wa Maziwa Makuu wanahitajia hafadhi ya dharura

UM wahadharisha, watoto mazeruzeru wa Maziwa Makuu wanahitajia hafadhi ya dharura

Mnamo wiki za karibuni, tulipokea taarifa zilizosema binti mmoja zeruzeru, wa umri wa miaka 6, aliuawa katika jimbo la mashariki la Ruyigi, nchini Burundi, ambalo hupakana na Tanzania. Baada ya kuuliwa alikatwa viungo, ktokana na itikadi ya wenyeji, isio sawa, inayoamini viungo hivyo humpatia mwanadamu miujiza na nguvu za kichawi.

Sikiliza ripoti kamili kwenye idhaa ya mtandao.