Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mukhtasari wa mikutano katika Makao Makuu

Mukhtasari wa mikutano katika Makao Makuu

Kwenye ukumbi wa Baraza la UM juu ya Uchumi na Jamii (ECOSOC), hii leo, panafanyika majadaliano ya kuzingatia mfumo unaofaa kudhibiti bora mizozo na kuimarisha operesheni za ulinzi amani kimataifa. Kikao hiki kimeandaliwa na Ofisi ya Raisi wa Baraza Kuu la UM pamoja Jumuiya ya Wabunge wa Kimataifa (IPU).