Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

OCHA yathibitisha hali Kivu Kaskazini ni ya hatari na kigeugeu

OCHA yathibitisha hali Kivu Kaskazini ni ya hatari na kigeugeu

Elizabeth Byrs, Msemaji wa Ofisi ya UM juu ya Misaada ya Dharura (OCHA) alithibitisha Ijumaa kwenye mkutano na waandishi habari mjini Geneva, juu ya hali ya wasiwasi na kigeugeu iliojiri kwa sasa katika Kivu Kaskazini, hali ambayo imeathiri hata wahudumia misaada ya kiutu kwenye eneo hilo:~