21 Novemba 2008
Shirika la UM juu ya Huduma za Wahamiaji (UNHCR) limearifu ya kuwa na wasiwasi kuhusu usalama wa watu 70,000 waliong’olewa makazi na ambao wanaishi kwenye kambi ya Kibati, kaskazini ya vitongoji vya mji wa Goma, katika JKK.
Shirika la UM juu ya Huduma za Wahamiaji (UNHCR) limearifu ya kuwa na wasiwasi kuhusu usalama wa watu 70,000 waliong’olewa makazi na ambao wanaishi kwenye kambi ya Kibati, kaskazini ya vitongoji vya mji wa Goma, katika JKK.