Skip to main content

Utovu wa elimu sawa duniani hutomeza mamilioni ya watoto kwenye hali duni, inasema ripoti ya UNESCO

Utovu wa elimu sawa duniani hutomeza mamilioni ya watoto kwenye hali duni, inasema ripoti ya UNESCO

Shirika la UM juu ya Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) limetoa ripoti maalumu leo yenye kuonyesha ya kuwa tofauti za fursa katika elimu ni kadhia ambayo hukandamiza mamilioni ya watoto wanaomalizikia kwenye maisha ya umaskini na ambao hunyimwa fursa za kujiendeleza kimaisha.