Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mataifa Wanachama 125 yanakutana Rio kusailia hifadhi ya watoto na vijana dhidi ya ukandamizaaji wa kijinsiya

Mataifa Wanachama 125 yanakutana Rio kusailia hifadhi ya watoto na vijana dhidi ya ukandamizaaji wa kijinsiya

Wajumbe karibu 3,000 kutoka nchi 125, wamekusanyika hii leo kwenye mji wa Rio de Janeiro, Brazil kuhudhuria kikao cha siku nne cha Mkutano Mkuu wa Tatu kukomesha dhidi ya Ukandamizaji wa Kijinsiya dhidi ya Watoto na Vijana Ulimwenguni.