Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Katibu Mkuu na Baraza la Usalama washutumu mashambulio ya kigaidi Mumbai

Katibu Mkuu na Baraza la Usalama washutumu mashambulio ya kigaidi Mumbai

KM Ban Ki-moon na Baraza la Usalama wameshtumu, na kulaani vikali, mashambulio ya kigaidi yaliofanyika, kuanzia tarehe 26 Novemba, kwenye mji wa Mumbai, Bara Hindi; matukio ambayo yalisababisha watu kadha kuchukuliwa mateka, zaidi ya watu 140 kuuawa na watu 300 ziada kujeruhiwa.