Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

D’Escoto apendekeza demokrasia irudishwe tena kwenye UM

D’Escoto apendekeza demokrasia irudishwe tena kwenye UM

Raisi wa kikao cha 63 cha Baraza Kuu la UM, Miguel D’Escoto kwenye mazungumzo na Redio ya UM pamoja na Kituo cha Habari cha UM alihimiza kwa kusema kwamba wakati umewadia kwa Mataifa Wanachama kuhakikisha demokrasia inarudishwa tena katika kuendeleza shughuli za UM.