2 Oktoba 2008
Shirika la Afya Duniani (WHO) limeripoti kwamba kila mwaka watu milioni mbili hufariki duniani kwa sababu ya matatizo yanayohusiana na matumizi ya pombe na ulevi.
Shirika la Afya Duniani (WHO) limeripoti kwamba kila mwaka watu milioni mbili hufariki duniani kwa sababu ya matatizo yanayohusiana na matumizi ya pombe na ulevi.