6 Oktoba 2008
Shirika la UM juu ya Chakula na Kilimo (FAO) leo limetoa ripoti inayosema utamaduni unaohusu huduma za, inayoujulikana kama viwanda vya kilimo cha majini, zimefikia njia panda kwa hivi sasa, kwa sababu ya vizingiti inaashiriwa itakabiliana na vizingiti kadha kwa siku za usoni katika harakati zake za kukidhi mahitaji ya samaki ulimwenguni.