FAO inapendekeza marekibisho kwenye sera ya nishati ya viumbehai
Shirika la UM juu ya Chakula na Kilimo (FAO) limetoa mwito unaoyataka Mataifa Wanachama kufanya mapitio ya dharura kuhusu sera ya kuzalisha nishati kwa kutumia viumbe hai, suala ambao linaathiri usalama wa akiba ya chakula kwenye soko la kimataifa, na kuumiza mapato ya wakulima wadogo wadogo katika nchi maskini.