Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Wasomali waliong'olewa makazi waathiriwa na mafuriko mazito nchini

Wasomali waliong'olewa makazi waathiriwa na mafuriko mazito nchini

Katika Usomali mvua kubwa na pepo kali zilipiga karibuni kwenye yale maeneo zilipo kambi za makazi ya muda ya wahamiaji wa ndani ya nchi. Msemaji wa UNHCR Geneva, Ron Redmond aliwapatia waandishi habari wa kimataifa taarifa zaidi juu ya tukio hilo:~