Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Tofauti za matunzo ya afya ulimwenguni zimekithiri hadi, kwa mujibu wa ripoti ya mwaka ya WHO

Tofauti za matunzo ya afya ulimwenguni zimekithiri hadi, kwa mujibu wa ripoti ya mwaka ya WHO

Ripoti [ya mwaka] kuhusu Hali ya Afya Ulimwenguni kwa 2008 iliwasilishwa rasmi Ijumanne na Shirika la Afya Duniani (WHO) kutokea mji wa Almaty, Kazakhstan.