BK limechagua wajumbe wapya kwa Baraza la Usalama
Kikao cha wawakilishi wote katika Baraza Kuu kilichoitishwa kuteuwa nchi tano zisio wanachama wa kudumu kuwakilishwa katika Baraza la Usalama limechagua mataifa ya Austria, Mexico, Ujapani, Uturuki na Uganda kuwa wanachama wapya wa Baraza la Usalama kwa miaka miwili, kuanzia Januari 2009.~ ~