17 Oktoba 2008
Taasisi za Kimataifa kuhusu Haki za Binadamu kutokea nchi 71 zinatarajiwa kukusanyika mjini Nairobi, Kenya wiki ijayo kuzingataia masuala yanayohusu usimamizi wa haki kimataifa.
Taasisi za Kimataifa kuhusu Haki za Binadamu kutokea nchi 71 zinatarajiwa kukusanyika mjini Nairobi, Kenya wiki ijayo kuzingataia masuala yanayohusu usimamizi wa haki kimataifa.