UNHCR inakadiria takwimu za waomba hifadhi kwenye mataifa yalioendelea
Shirika la UM juu ya Huduma za Wahamiaji (UNHCR) limechapisha ripoti mpya juu ya takwimu za wahamiaji wenye kuomba hifadhi ya kisiasa kwenye nchi zenye maendeleo ya kiufundi, katika nusu ya kwanza ya mwaka huu.
Sikiliza taarifa kamili kwenye idhaa ya mtandao.