Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

UNHCR inakadiria takwimu za waomba hifadhi kwenye mataifa yalioendelea

UNHCR inakadiria takwimu za waomba hifadhi kwenye mataifa yalioendelea

Shirika la UM juu ya Huduma za Wahamiaji (UNHCR) limechapisha ripoti mpya juu ya takwimu za wahamiaji wenye kuomba hifadhi ya kisiasa kwenye nchi zenye maendeleo ya kiufundi, katika nusu ya kwanza ya mwaka huu.

Sikiliza taarifa kamili kwenye idhaa ya mtandao.