Kamishna wa Haki za Binadamu anasema umaskini unafungamana na utovu wa haki za kimsingi
Kamishana Mkuu wa UM juu ya Haki za Binadamu, Navi Pillay, amekumbusha kwenye taarifa alioitoa kuhishimu Siku ya Kimataifa Kuangamiza Umaskini’ ya kwamba kuna fungamano halisi kati ya utekelezaji wa haki za binadamu na hali ya umaskini ulimwenguni.