Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Waziri wa Mambo ya Nje wa Tanzania atathminia kikao cha 63 cha BK la UM (Sehemu ya II)

Waziri wa Mambo ya Nje wa Tanzania atathminia kikao cha 63 cha BK la UM (Sehemu ya II)

Mnamo mwisho wa Septemba, kwenye majadiliano ya wawakilishi wote ya Baraza Kuu la UM, Mwakilishi wa Tanzania, Raisi Jakaya Kikwete, alizungumza kwa niaba ya makundi mawili – taifa lake na pia Umoja wa Afrika – kwa sababu Tanzania hivi sasa vile vile imekabidhiwa madaraka ya Mwenyekiti wa Umoja wa Afrika.~~

Sikiliza mahojiano kamili kwenye idhaa ya mtandao.