23 Oktoba 2008
Mnamo mwisho wa Septemba, kwenye majadiliano ya wawakilishi wote ya Baraza Kuu la UM, Mwakilishi wa Tanzania, Raisi Jakaya Kikwete, alizungumza kwa niaba ya makundi mawili – taifa lake na pia Umoja wa Afrika – kwa sababu Tanzania hivi sasa vile vile imekabidhiwa madaraka ya Mwenyekiti wa Umoja wa Afrika.~~
Sikiliza mahojiano kamili kwenye idhaa ya mtandao.