Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Wajumbe 18 wamechaguliwa na Baraza Kuu kutumikia ECOSOC

Wajumbe 18 wamechaguliwa na Baraza Kuu kutumikia ECOSOC

Baraza Kuu la UM limeteua wajumbe 18 kutumika kwenye Halmashauri ya Uchumi na Jamiii (ECOSOC), moja ya chombo muhimu cha UM, kwa miaka mitatu ijayo kuanzia Januari 2009.