Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Matukio katika Makao Makuu

Matukio katika Makao Makuu

Baraza Kuu la UM leo limezingatia ripoti ya Shirika la Kimataifa Juu ya Matumizi ya Amani ya Nishati ya Kinyuklia (IAEA). Kadhalika Baraza linatarajiwa kuchagua wajumbe 20 wa Kamati ya Ushauri wa Miradi ya UM. Mwishowe, Baraza la Usalama limekutana asubuhi kuzingatia hali ya usalama katika Cote d’Ivoire na hali ya wasiwasi iliofumka nchini karibuni wakati taifa hilo linajiandaa kufanyisha uchaguzi. ~