28 Oktoba 2008
KM Ban Ki-moon Ijumanne amewasili Manila, Philippines, taifa la kwanza miongoni mwa nchi nne za Asia ambazo anatarajiwa kuzizuru rasmi karibuni, ikijumlisha pia Bara Hindi, Nepal na Bangladesh.
KM Ban Ki-moon Ijumanne amewasili Manila, Philippines, taifa la kwanza miongoni mwa nchi nne za Asia ambazo anatarajiwa kuzizuru rasmi karibuni, ikijumlisha pia Bara Hindi, Nepal na Bangladesh.