Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

UM kuifadhilia Yemen misaada ya kihali kwa waathiriwa wa mafuriko

UM kuifadhilia Yemen misaada ya kihali kwa waathiriwa wa mafuriko

Kadhalika UNHCR imeripoti kuingiwa na wasiwasi kuhusu hali ya raia 10,000 wa Yemen wanaohitajia kufadhiliwa misaada ya kihali, haraka iwezekanavyo, kutoka mashirika ya UM na yale yasio ya kiserikali, baada ya gharika iliyowakumba kufuatia mafuriko yaliozushwa na mvua kali iliopiga kwenye majimbo ya Hadhramout, Al Mahra na sehemu nyengine nchini zilizotangazwa na Serikali ya kuwa ni maeneo ya maafa.