30 Oktoba 2008
UM umeripoti kwamba askari mmoja wa Afrika Kusini ameuawa na mwengine amejeruhiwa vibaya kutokana na shambulio liliofanyika kilomita 3 kutoka kambi yao iliopo Kutum, Darfur kaskazini.
UM umeripoti kwamba askari mmoja wa Afrika Kusini ameuawa na mwengine amejeruhiwa vibaya kutokana na shambulio liliofanyika kilomita 3 kutoka kambi yao iliopo Kutum, Darfur kaskazini.