2 Septemba 2008
Benki Kuu ya Dunia imetoa ripoti maalumu yenye kumurika suala la uwezo wa Afrika kudhibiti vizuri zaidi Mradi wa Maendeleo Safi (CDM) kwa kupunguza ile hewa chafu inayomwagwa kwenye anga kutokana na harakati za viwandani na pia kutoka kwenye magari.