Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

HRC kuanza mijadala ya kikao cha tisa wiki ijayo

HRC kuanza mijadala ya kikao cha tisa wiki ijayo

Baraza la Haki za Binadamu (HRC) linatarajiwa kukutana Geenva wiki ijayo kwenye kikao cha tisa, kuanzia Ijumatatu, tarehe 08 Septemba na kuendelea hadi Septemba 26, 2008.