Operesheni za chakula Darfur zadhuriwa na mashambulio ya kihorera
Shirika la UM juu ya Miradi ya Chakula Duniani (WFP) limetoa taarifa inayotahadharisha jumuiya ya kimataifa ya kuwa italazimika kukatisha operesheni za kugawa chakula, kwa muda, katika baadhi ya sehemu za Darfur, Sudan mpaka pale hali ya usalama na utulivu itakaporejea.