Usafirishaji wa magendo warejea tena kwenye Ghuba ya Aden
Baada ya kurudi kwa hali shwari kwenye Ghuba ya Aden imeripotiwa na hirika la UM juu ya Huduma za Wahamiaji (UNHCR) kuanza tena, upya, mnamo mwezi Agosti, usafirishaji magendo wa wahamiaji waliokuwa wakijinusurisha na njaa pamoja na mapigano katika eneo la Pembe ya Afrika, hususan wahamiaji kutoka Usomali na Ethiopia.
Sikiliza maelezo kamili kwenye idhaa ya mtandao.