UM unaadhimisha Siku ya Kujizuia Kujiua Duniani
Mnamo tarehe 10 Septemba kila mwaka UM huiadhimisha siku hiyo kuwa ni Siku ya Kuzuia Kujiua Duniani. Takwimu za Shirika la Afya Duniani (WHO) zimeonyesha, kwa wastani, watu 3000 huamua kujiua kila siku duniani kwa sababu ya mawazo, fikra na mambo kadha wa kadha yanayomkumba mwanadamu.