Kikao cha 63 cha Baraza Kuu kimefunguliwa rasmi Makao Makuu
Leo saa tisa alasiri kulifunguliwa rasmi kikao cha 63 cha Baraza Kuu la UM kwenye Makao Makuu yaliopo mjini New York, ambapo Miguel d’Escotto Brockmann wa Nicaragua alishika usukani wa uraisi wa Baraza hilo.