Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

ICRC inasema Usomali inahitajia misaada ya kihali

ICRC inasema Usomali inahitajia misaada ya kihali

Marcel Izard, Msemaji wa Kamati ya Kimataifa ya Msalaba Mwekundu na Hilali Nyekundu (ICRC) aliwaambia waandishi habari leo Geneva kwamba hali katika Usomali bado inaendelea kuharibika na shirika lao linajaribu kuhudumia umma muathiriwa mahitaji yao ya kimsingi.~