Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Haki za Binadamu zinazorota Sudan, adai Sima Samar

Haki za Binadamu zinazorota Sudan, adai Sima Samar

Baraza la Haki za Binadamu Geneva leo limezingatia ripoti iliowasilishwa na Sima Samar, Mkariri Maalumu juu ya hali ya haki za binadamu katika Sudan. Alisema alipowasilisha ripoti, ya kwamba hali nchini humo bado inakabiliwa na vizingiti kadha wa kadha vyenye kutatanisha utekelezaji unaofaa wa haki za binadamu Sudan.

Sikiliza taarifa ziada kwenye idhaa ya mtandao.