17 Septemba 2008
Kwenye mahojiano na Redio ya UM Ijumanne, KM Ban Ki-moon alisisitiza kwamba anaamini walimwengu wapo kwenye mkondo sawa hivi sasa ambao utawawezesha kuyakamilisha Malengo ya Maendeleo ya Milenia kwa wakati.
Kwenye mahojiano na Redio ya UM Ijumanne, KM Ban Ki-moon alisisitiza kwamba anaamini walimwengu wapo kwenye mkondo sawa hivi sasa ambao utawawezesha kuyakamilisha Malengo ya Maendeleo ya Milenia kwa wakati.