Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

'Inawezekana kuyakamilisha Malengo ya Milenia 2015' asisitiza KM

'Inawezekana kuyakamilisha Malengo ya Milenia 2015' asisitiza KM

Kwenye mahojiano na Redio ya UM Ijumanne, KM Ban Ki-moon alisisitiza kwamba anaamini walimwengu wapo kwenye mkondo sawa hivi sasa ambao utawawezesha kuyakamilisha Malengo ya Maendeleo ya Milenia kwa wakati.