Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mifumko ya bei yashadidia njaa ulimwenguni kwa watu milioni 75

Mifumko ya bei yashadidia njaa ulimwenguni kwa watu milioni 75

Shirika la UM juu ya Chakula na Kilimo (FAO) limeripoti ya kwamba watu milioni 75 ziada wameingizwa rasmi kwenye safu za watu wenye njaa sana duniani, hali ambayo inazorotisha na kuchafua zile juhudi za kupunguza njaa kwa nusu katika 2015, kama ilivyopendekezwa na lengo la awali la Maendeleo ya Milenia (MDGs).