Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Viongozi wa dunia watathminia maendeleo Afrika

Viongozi wa dunia watathminia maendeleo Afrika

Baraza Kuu la UM leo hii limeanzisha mkutano maalumu wa watu wa ngazi za juu, kuzingatia, kwa sikui nzima, mahitaji ya maendeleo kwa bara la Afrika, kwa sababu ya wasiwasi uliojiri wenye kuonyesha bara la Afrika lipo nyuma sana, tukilinganisha na maeneo mengine, katika kutekeleza ile kampeni ya kimataifa ya kupunguza kwa nusu, katika 2015, hali ya ufukara, kutojua kusoma na kuandika na maradhi mengineyo ya kijamii.

Sikiliza taarifa kamili kwenye idhaa ya mtandao.