Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Rais wa Baraza Kuu ahimiza ushikamanao kukabili matatizo ya ulimwengu

Rais wa Baraza Kuu ahimiza ushikamanao kukabili matatizo ya ulimwengu

Rais wa Baraza Kuu la UM, Miguel d’Escoto Brockmann alipofungua majadiliano ya jumla ya kikao cha mwaka huu cha 63 cha UM, aliwaambia wawakilishi wa Mataifa Wanachama 192 ya kwamba wakati umewadia kwa umma wa kimataifa “kuchagua njia iliyoongoka ya ushikamano na umoja” kukomesha kile alichokiita utamaduni wa uchoyo na ubinafsi, ustaarabu, ambao alisihi husababisha mamilioni ya umma wa ulimwengu kusumbuliwa na umaskini pamoja na matatizo mengineyo yalizushwa na wanadamu wenyewe.

Sikiliza maelezo kamili kwenye idhaa ya mtandao.