UNHCR imeripoti kupamba uhamiaji mkubwa wa raia Mogadishu
Shirika la UM juu ya Huduma za Wahamiaji (UNHCR) limeripoti kufanyika uhamiaji mkubwa wa raia waliong’olewa makazi kwa sababu ya mripuko wa mapigano yaliouvaa mji mkuu wa Usomali, Mogadishu katika siku za karibuni. Ron Redmond, msemaji wa UNHCR aliwapatia waandishi habari Geneva taarifa ziada juu ya tukio hilo kama ifuatavyo:~