Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mizozo ya kimataifa karne ya sasa yahitajia suluhu za washiriki wingi, inasisitiza Ujerumani

Mizozo ya kimataifa karne ya sasa yahitajia suluhu za washiriki wingi, inasisitiza Ujerumani

Waziri wa Masuala ya Nchi za Kigeni wa Ujerumani, Frank-Walter Steinmeir Ijumaa alilwaambia wajumbe waliohudhuria kikao cha 63 cha Baraza Kuu hapa Makao Makuu ya kwamba matatizo muhimu yanayokabili ulimwengu wetu kwa sasa hayatoweza kupatiwa suluhu ya kuridhisha mpaka pale nchi zote za ulimwengu zitakapochangisha juhudi zao kipamoja kuyatatua masuala hayo – kuanzia masuala ya kurudisha utulivu katika Afghanistan na Pakistan, kuimarisha amani Mashariki ya Kati na kupunguza urimbikizaji na pia matumizi ya silaha za mauaji ya halaiki ulimwenguni.

Sikiliza taarifa ziada kwenye idhaa ya mtandao.