Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Syria imeambia UM mazungumzo na Israel yana matumaini ya amani

Syria imeambia UM mazungumzo na Israel yana matumaini ya amani

Waziri wa Mambo ya Nje wa Syria, Walid Al-Moualem leo Ijumamosi aliwaambia wajumbe wa kimataifa waliohudhuria kikao cha Baraza Kuu cha wawakilishi wote ya kwamba mazungmzo yasiodhahiri yanayofanyika sasa na Israel, yanayoongozwana Uturuki, yana uwezo wa kuandaa amani kati yao pindi vipengele fulani vitakamilishwa.