29 Septemba 2008
Mkutano Mkuu wa Mataifa Wanachama 145 wa Shirika la Kimataifa juu ya Matumizi ya Amani ya Nishati ya Kinyuklia (IAEA), utakaochukua wiki nzima, umefunguliwa rasmi mjini Vienna Ijumatatu ya leo.
Mkutano Mkuu wa Mataifa Wanachama 145 wa Shirika la Kimataifa juu ya Matumizi ya Amani ya Nishati ya Kinyuklia (IAEA), utakaochukua wiki nzima, umefunguliwa rasmi mjini Vienna Ijumatatu ya leo.