Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mkutano wa mwaka wa IAEA umefunguliwa rasmi Vienna

Mkutano wa mwaka wa IAEA umefunguliwa rasmi Vienna

Mkutano Mkuu wa Mataifa Wanachama 145 wa Shirika la Kimataifa juu ya Matumizi ya Amani ya Nishati ya Kinyuklia (IAEA), utakaochukua wiki nzima, umefunguliwa rasmi mjini Vienna Ijumatatu ya leo.