Raia wa Usomali 52 wakadiriwa kufariki kwenye Ghuba ya Aden, UNHCR
Shirika la UM juu ya Huduma za Wahamiaji (UNHCR) limeripoti wanakadiria raia wa Usomali 52 walifariki, [wiki iliopita] baada ya mashua iliotumiwa kuwavusha kimagendo kuelekea Yemen ilipoharibika na kuyoyoma kwa siku 18 bila ya chakula wala maji kwenye Ghuba ya Aden.