Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Ubelgiji itaongoza shughuli za BU kwa Agosti

Ubelgiji itaongoza shughuli za BU kwa Agosti

Raisi wa Baraza la Usalama kwa mwezi Agosti ni Balozi Jan Grauls wa Ubelgiji ambaye hii leo baada ya mashauriano na wajumbe wa Baraza juu ya ajenda ya mwezi, anatazamiwa kuongoza majadiliano maalumu yatakayozingatia ripoti ya KM kuhusu hali katika Sierra Leone.