WMO kusaidia utabiri wa hali ya hewa katika Olimpiki ya Beijing 2008
Shirika la UM juu ya Utabiri wa Hali ya Hewa Duniani (WMO) limetangaza kuisadia Uchina kutabiri vizuri zaidi hali ya hewa wakati mashindano ya olimpiki yanapopamba katika mji wa Beijing kuanzia tarehe 08 Agosti (08).