Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Wafalastina walionyimwa makazi Iraq kuhamishiwa Iceland na Sweden

Wafalastina walionyimwa makazi Iraq kuhamishiwa Iceland na Sweden

Wafalastina zaidi ya darzeni mbili walio hali dhaifu na waliokwama kwa muda wa miaka miwili kwenye kambi ya wahamiaji ya Al Waleed, iliopo jangwani kwenye mipaka kati ya Iraq na Syria, wanatarajiwa kuhamishiwa Iceland katika wiki mbili zijazo.