Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

BU limeshindwa kukubaliana tamko la suluhu juu ya mapigano ya Ossetia Kusini

BU limeshindwa kukubaliana tamko la suluhu juu ya mapigano ya Ossetia Kusini

Baraza la Usalama lilikutana Alkhamisi usiku kwenye kikao kilichoitishwa na Urusi kuzingatia mapigano yaliofumka katika jimbo liliojitenga la Ossetia Kusini katika Georgia, mkutano ambao ulifanyika kuanzia kuanzia saa tano hadi saa nane usiku.