Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Aliyeokoka shambulio la ugaidi Kenya 1998 kuiomba UM kusaidia kudhibiti tukio kama hilo kimataifa

Aliyeokoka shambulio la ugaidi Kenya 1998 kuiomba UM kusaidia kudhibiti tukio kama hilo kimataifa

Mnamo tarehe 07 Agosti 1998 katika mataifa ya Kenya na Tanzania kulitukia mashambulio ya kigaidi yaliosababisha vifo na majeruhi kadha kwa raia wa mataifa hayo ya Afrika Mashariki. Caroline Wavai wa kutoka Kenya ni mmoja wa waathiriwa aliyenusurika na tukio hilo. Baada ya hapo alihamasishwa kuanzisha shirika lisio la kiserekali, linaloitwa Baraka Care International kwa madhumuni ya kusaidia umma kupata kinga bora dhidi ya matukio kama hayo.~~

Sikiliza mahojiano kamili kwenye idhaa ya mtandao.