Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Yao Ming ameteuliwa Mshindi wa Kwanza wa UNEP

Yao Ming ameteuliwa Mshindi wa Kwanza wa UNEP

Mwanariadha wa Olimpiki na ambaye pia mchezaji maarufu wa mpira wa kikapu kutoka Uchina, Yao Ming ametangazwa kuwa ni Mshindi wa Kwanza wa Tunzo ya Shirika la UM juu ya Hifadhi ya Mazingira (UNEP). Tangazo hili lilitolewa Ijumamosi kwenye mji wa Beijing.