Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Wanaotengua haki za ilimu wapewe adhabu, anasihi Villalobos

Wanaotengua haki za ilimu wapewe adhabu, anasihi Villalobos

Vernor Munoz Villalobos, Mkariri Maalumu wa UM juu ya Haki za Kupata Ilimu ametoa taarifa maalumu Geneva inayopendekeza wale wanaoshambulia walimu, wanafunzi na maskuli wakamatwe na wapelekwe mahakamani kukabili haki na kuhukumiwa adhabu kali.